KARIBU

tujifunze pamoja jinsi ya kufanya mambo mbalimbali; +255 758100222, tuma maoni, omba mada, dhamini mtando n.k jinsiya.tz@gmail.com

Wednesday, 15 January 2014

JINSI YA KUPANGILIA PICHA, KUPENDEZESHA PROFILE ZA FACEBOOK



Picha ndo radha halisi ya  Facebook. Bila ma picha picha hautaona kitu bali mahabari ya siasa, mara nani kafanya nini au maelezo yasiyotuhusu, hakuna anaeingia facebook kusoma novel, hadithi au habari zisizomhusu bhana! Ila picha! Picha zina amsha amsha facebook – la hasha hatuna mbaya na jamaa yako anaepost habari flani zisizotuhusu kila saa.

Ingawa hata ukitupia picha facebook bila mpangilio bado utawavutia marafiki zako, lakini mbona bado sio kazi, chukua muda wako mchache tu kupangilia maingizo ya picha zako ili kuvutia marafiki zako zaidi na zaid.
Kuna njia kama tatu hivi za msingi kufikiria katika kuedit picha za facebook.
 Moja; ni katika uchaguzi wa picha gani iingie kwenye ukurasa yako wa facebook, ya pili ni kutumia software / programu maalum za kuboreshea picha na ya tatu I kuweka mpangilio ambao utavuta na kua bora kutazamwa na marafiki wa kila aina.
Tuanze na kipengele cha kwanza – kuchagua aina za picha za kutupia facebook. Hiki ni kipengele rahisi zaidi. Kwanza usiweke picha yoyote ambayo unafikiri wewe mwenyewe usingependa kuiona au watu flani hawata penda kuona.kua mwangalifu juu ya aina ya picha unazotaka kushare na usijidhalilishe wewe au marafiki zako; vinginevyo utapoteza baadhi ya marafiki.usiboe watu kwa kutupia picha hamsini za mbwa wenu mbaya mmoja akijisaidia. Usiweke picha za ngono.
Na tukija kwenye suala la ku edit picha zenyewe, una mambo kadha wa kadha ya kuchagua;
Ø  Kuna programu nyingi za bure mtandaoni unazoweza kutumia  kama utakavyojifunza kwenye makala zinazokuja.
Ø   Kama bajeti inaruhusu wape kazi wataalamu wa kuedit picha, sio mbaya.
Mwisho, mtandao wa facebook unakupa njia kadhaa za kupangilia picha zako, kwa mfano unaweza kuweka picha katika albam tofauti tofauti. Kurahisisha upatikanaji wa picha zako, zipange kwa matukio, kwa mfano. Mkesha wa krismasi, mwaka mpya au serengeti tour.

Ungependa kuchangia mawazo zaidi? Tafadhali tuandikie> jinsiya.tz@gmail.com

1 comment:

  1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete