KARIBU

tujifunze pamoja jinsi ya kufanya mambo mbalimbali; +255 758100222, tuma maoni, omba mada, dhamini mtando n.k jinsiya.tz@gmail.com

Wednesday, 15 January 2014

JINSI YA KUPATA MIMBA YA MTOTO WA KIUME



Kupata mtoto wa kiume ni jambo muhimu sana kwa baadhi ya wazazi. Ndio maana kwa njia yoyote ile wengi hufanya juu chini kufanikisha jambo hili, wengine hudiriki kwenda kwa waganga wa kienyeji na wenye imani zao kusali sana. Lakini kitaalamu hii inaitwa uchaguzi wa jinsia *gender selection. Na inaweza kufanyika kwa mtoto wa kike au wa kiume, Ingawa kupata mimba ya mtoto wa kiume mara nyingi ni tofauti kidogo.



Jambo hili sio jipya sana katika jamii zetu lilifanywa toka enzi za mababu zetu. Zamani jambo hili liliangaliwa sana na wanawake kwa sababu haikueleweka kwamba mwanaume anahusika zaidi katika jambo hili. Lakini sasa kulingana na kukua kwa teknolojia na busara wanaume wanahusika zaidi, licha ya kua imani kama madawa ya kienyeji na mila bado zinaendelea.
Lengo la kuchagua jinsia ya kijacho limekua likikua siku hadi siku, baadhi ya watafiti wameonyesha asilimia 90 ya wazazi wamesema wangependa kuchagua jinsia kama ingekua rahisi. Matakwa ya mtoto wa kike au wa kiume yamekua yakitofautiana kulingana na maeneo.
Jinsi ya kuchagua mtoto  wa kiume
Kila mzazi huchangia nusu ya virutubishi vinavyounda mtoto. Kibaiolojia mama anamayai aina XX, kwa hiyo kama atachangia yai moja ili kupata mtoto, anao uwezo wa kuchangia yai X tu. Baba ana mayai  XY na kama atachangia kuunda mtoto, anaweza kuchangia yai X au yai Y. Hii inamaanisha shahawa/ mayai ambayo wazazi watachangia ndio huamua jinsia gaani mtoto atatokea.
Mama akitoa X na baba X = XX (mtoto wa kike)
Mama akitoa X na baba Y = XY (mtoto wa kiume)
Kama mama  anaouwezo wa kuchangia yai X tu ina maana swala ni baba atoe yai Y iwe XY ili kupata mtoto wa kiume. Kama ni hivyo usije ukadhani swala hilo ni juu ya baba peke yake, inahitaji ushirikiano kufanikisha jambo hilo, kama nitakavyo ainisha hapa chini;
Zaidi ya shahawa milioni mia mbili huingia ukeni mwanaume akikojoa/ piga bao mara moja, ikiwa ni mchanganyiko wa mayai X na Y. Lakini mara nyingi kati ya shahawa hizo milioni mia mbili, ni moja tu hupenya mpaka kwenye mfuko wa uzazi ili kukutana na yai la mama na kuunda mimba, nyingine ni uchafu na hutoka mwanamke akisafisha uke.
Kabla haujajua chakufanya ili kufanikisha zoezi la kupata mtoto wa kiume zijue sifa za shahawa, X na Y ambazo baba anaweza kuzalisha.
Shahawa X ina spidi ndogo ukilinganisha na Y lakini inauwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kusubir yai la mama kama lilikua halijafika kwenye mfuko wa uzazi bado.
Shahawa Y ina speed kali zaidi kushinda X kuelekea kwenye mfuko wa uzazi llakini haina uwezo wa kuishi muda mrefu zaidi kama yai la mama litachelewa kufika kwenye mfuko wa uzazi.
Hivyo basi, ili kupata mtoto wa kiume inabidi ujifunze utaalamu wa kuvizia au kupanga jinsi gani ufanye ili wakati yai la mama linapofika kwenye mfuko wa uzazi likutane na shahawa Y ya baba kabla haijafa……..
Nini kifanyike;
Lenga kujamiiana masaa 24 kabla, mpaka 12 baada ya yai la mama kufika kwenye mfuko wa uzazi. Hii inamaanisha wakati yai la mama linafika katika mfuko wa mama inatakiwa kuwe na shahawa Y kwa wingi au kusiwe na shahawa kabisa lakini mara tu baada ya kufika kwa yai, mama anatakiwa kujamiiana ili kupanda shahawa nyingi ambazo ni Y kama nilivyokwambia shahawa Y zina spidi sana hivyo ni rahisi kuwahi na kulikuta yai pale.

Jinsi ya kufanikisha hilo;

·         Kwanza mwanamke aujue vizuri mzunguko wake wa mwezi, anaweza kwenda vituo vya afya kuelekezwa vizuri jinsi ya kuuelewa mzunguuko wake wa mwezi(hedhi) 

·         Baada ya kuuelewa vizuri mzunguko huo, yuko tayar kwa uwindaji wa jambo hili. Baada ya kutoka hedhi siku kama tatu hadi tano yai jingine huwa limefika kwenye mfuko wa uzazi kusubiri kurutubishwa. Ina maana baada ya kutoka hedhi subiri kwa siku 4 hadi tano kabla ya kujamiiana.

·         Mwanaume hatakiwi kua amepiga bao kwa njia yoyote siku 4-5 kabla ya kujamiiana siku mliyopanga.

  
·         Huwa kuna mabadiliko ya joto la mwanamke kujua kama yai limeshafika kwenye mfuko wa uzazi, ni vyema kama umeuelewa vizur mfumo wako wa uzazi wa mwezi uweze kujipima na kujua wakati yai la mwanamke limefika kwenye mfuko. Ukiweza jambo hilo ni vyema zaidi basi na mjitahidi kujamiiana  masaa kumi na mbili baada ya yai kufika kwenye mfuko.

·         Kaeni mikao ya kuhakikisha uume umeingia ndani sana ili kupunguza umbali wa shahawa kusafiri.

·         Ni muhimu mwanamke aandaliwe vizuri ili akojoe/afike kileleni kwa sababu shahawa za mwanamke husaidia kusafirisha mayai ya mwanaume.
Mlo.
Tunaamini pia mlo unaopata husaidia sana kukufanya upate mtoto wa kike au wa kiume, ili kupata mtoto wa kiume vyakula vifuatavyo husaidiia:
·         Nyama, hasa nyama nyekundu.
·         Vyakula vya chips chips zenye chumvi
·         Mayai, maharagwe,mikate na mazao ya mahindi
·         Caffeine; umhimize mwenza wako kunywa vinywaji vyenye caffeine kama koka na pepsi kabla ya kujamiiana kwa sababu vinasaidia kuchangamsha shahawa Y
·         Kunywa dawa ya kikohozi kabla ya kujamiiana kwa sababu dawa hizo huwa na guaifenesin   inayosaidia nguvu za usafirishwaji wa shahawa Y. soma juu ya dawa kuhakikiasha ina guaifenesin  kabla ya kunywa.
Mambo mengine yanayoweza kusaidia;
·         Mwanaume afike kileleni/akojoe kwanza.
·         Mwanaume awe juu au akae
·         Mjamiiane huku mmesimama
·         Mjamiiane usiku.
·         Epuka kujamiiana wakati mwezi unatoka au wakati wa mwezi mzima, fanya mwezi ukiwa robo zaidi.



11 comments:

  1. naomba msaada mm mwezi ulio pita nimeanza ku bleed tarehe6 na huwa nableed kwa cku nne na mwezi huu nimeanza kubleed leo tarehe 30 kwamahesabu hayo mm lini naweza kupata mtoto wa kiume ndani ya mwezi huu cku yangapi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

      Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
      Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
      Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

      Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
      Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
      Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
      Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
      Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
      Nitaendelea kushukuru milele.
      Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
      . Usaidizi wa kurejesha ndoa
      . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
      . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
      . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
      Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com

      Delete
  2. Asante kwa maerezo hayohayoooo.������������


    ReplyDelete
    Replies
    1. natamani mungu aje anijalie mtoto wa kiume

      Delete
  3. Mbona kupata mtoto wa kiume masharti mengi sana

    ReplyDelete
  4. mie hata sielewi kwa kuwa nyama kahawa soda utajazo vyote ni tindikali. na yai y husafiri zaidi kwenye nyongo ( alkaline)
    alafu siku ulivyozipanga sijaelewa nisaidie hapo

    ReplyDelete
  5. Aki natamani Sana kupata Moto wa kiume,lakini nashindwa kuelewa exactly that date,please help me to know .

    ReplyDelete
  6. Hii imekaa vizuri Sana.
    I'aeleweka .

    ReplyDelete
  7. Nafaa kufanya nin ilikupata mtoto wa kiume

    ReplyDelete
  8. Kutoka Bila Matumaini Hadi Kufurahi Kupita Kiasi - Dk. Dawn Aliwezesha Iwezekane!”

    "Nilipopoteza kabisa tumaini la kuwa mama, ulimwengu wangu ulijihisi tupu. Nilijaribu kila kitu, lakini hakuna kitu kilichofanya kazi, na nilivunjika moyo. Kisha nikampata Dk. Dawn, na kila kitu kilibadilika. Kwa uchawi wake wenye nguvu wa ujauzito na mwongozo, ndoto zangu zilitimia—sasa nimebarikiwa kupata watoto wawili warembo! Leo, mimi na mume wangu ndio wenzi wenye furaha zaidi ulimwenguni. Maneno hayawezi kueleza jinsi ninavyoshukuru kwa kurudia maisha yetu ya Dawn."

    Wasiliana na tabia yake ya ujauzito,
    Tahajia ya mapenzi/ tahajia ya kufunga/ tahajia ya kuokoa/
    Spell kuponya magonjwa na magonjwa na zaidi:


    Nambari ya WhatsApp: +2349046229159

    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete